Wednesday, June 3, 2015

TIMU YA ULINZI KWA MTOTO HAI MFANO WA KUIGWA


 mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai Clementi Kwayu akizungumza na wajumbe wa kamati ya ulinzi kwa mtoto ngazi ya wilaya. Picha na Edwine Lamtey 0758-129821






mwenyekiti wa timu ya Ulinzi kwa mtoto Bi. Helga akiwasilisha moja kati ya Taarifa kwa wajumbe wa timu ya ulinzai kwa mtoto.






wajumbe wa timu ya ulinzi kwa mtoto wakimsikiliza mwenyekiti wa timu hiyo Bi. Helga
Picha zote Na, Edwine Lamtey



No comments:

Post a Comment