Madereva wengi nchini hutelekezwa na wamiliki wa magari
Madereva wengi nchini hutelekezwa na wamiliki wa magari bila kuwapatia huduma ya matibabu punde wanapopatwa na ajali au kuugua wakiwa kazini, kutokana na wamiliki hao kukwepa kuwagharimia huduma za matibabu.
No comments:
Post a Comment