Tuesday, July 28, 2015

Madereva wengi nchini hutelekezwa na wamiliki wa magari


Madereva wengi nchini hutelekezwa na wamiliki wa magari bila kuwapatia huduma ya matibabu punde wanapopatwa na ajali au kuugua wakiwa kazini, kutokana na wamiliki hao kukwepa kuwagharimia huduma za matibabu.

No comments:

Post a Comment