Wednesday, August 16, 2017

MADIWANI SHIRIKIANENI KUIBUA VYANZO VYA MAPATO KATIKA KATA ZENU


pichani ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai Mh Helga Mchomvu akizungumza jambo katika kikao cha Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Hai na kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Hai Ndg Yohana Sintoo.

Tuesday, August 15, 2017

ELIMU YA USHIRIKA YASHIKA KASI

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi,Profesa Faustine Karrani Bee akiongea na Wanahabari katika Warsha ya Wanahabari kuhusu Elimu ya Ushirika Nchini na Mchango wa Chuo katika kuendeleza Ushirika.
 
 
baadhi ya wanahabari wakimsikiliza Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi,Profesa Faustine Karrani Bee
MOSHI
IMEELEZWA kuwa jitihada za sasa za Serikali kuboresha miundombinu ya usafirishaji  na kupeleka nishati ya umeme vijijini vitapunguza changamoto na kuongeza fursa za viwanda kupitia Ushirika.

Hayo yameelezwa na Makamu Mkuu