pichani ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai Mh Helga Mchomvu akizungumza jambo katika kikao cha Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Hai na kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Hai Ndg Yohana Sintoo.
Wednesday, August 16, 2017
Tuesday, August 15, 2017
ELIMU YA USHIRIKA YASHIKA KASI
baadhi ya wanahabari wakimsikiliza Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi,Profesa Faustine Karrani Bee
MOSHI
IMEELEZWA
kuwa jitihada za sasa za Serikali kuboresha miundombinu ya usafirishaji na kupeleka nishati ya umeme vijijini
vitapunguza changamoto na kuongeza fursa za viwanda kupitia Ushirika.
Hayo
yameelezwa na Makamu Mkuu
Subscribe to:
Posts (Atom)