Wednesday, June 3, 2015

AWATAPELI WAFANYABIASHARA,DC AMSOTA RUMANDE, ADAI AMETOKA OFISI YA WAZIRI MKUU.


Aliyesimama ni mtuhumiwa Praygod Mmasy anayedaiwa kuwatapeli wamiliki wa Sheli, pamoja na viwanda kwa kujifanya mtumishi kutoka ofisi ya waziri mkuu kitengo cha mazingira.  Picha na Edwine Lamtey



 kulia katika picha ni mmiliki wa kiwanda cha Harso mara baada ya kutapeliwa kiasi cha sh.1,500,000 Katikati ni mtuhumiwa Praygod Mmasy na mwisho kushoto ni mkuu wa idara ya mazingira mkoani Kilimanjaro.



kushoto ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Hai Clement Kwayu katikati ni OCS wa kituo cha polisi Bomang'ombe akifuatiwa na afisaa wa Takukuru bwana Fidelis Maparara





katika picha ni mkuu wa wilaya ya Hai Anthony Mtaka akizungumza kuhusiana na tukio hilo la kutapeliwa kwa wafanyabiashara kikao ambacho kilijumuisha Kamati ya ulinzi na usalama, wafanyabiashara waliotapeliwa pamoja na waandishi wa Habari.

WALIOTAPELIWA
Limcolim M.Lema sh.1,000,000/=
Nicky Munuo sh.3,500,000/=
A. Salakana sh. 200,000/=
H. A. Shoo sh. 1,500,000/=

No comments:

Post a Comment