Tuesday, June 9, 2015

ZOEZI LA UANDIKISHWAJI KWA MFUMO WA BVR LASITISHWA


 Katika picha ni washirikiwa wa mafunzo ya BVR wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wakipokea mafunzo na matumizi ya mashine za BVR ili kuandikisha wapiga kura katika daftari la kudumu.



katika picha ni Murugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Hai Said Ahamed Said Mderu akizungumza na waandikishaji wasaidizi na BVR Operator huku pia akitoa taarifa ya kusogezwa mbele kwa zoezi hilo.





 katikati ni mkuu wa wilaya ya Hai ndg. Anthony Mtaka mara baada ya kuzungumza na washiriki wa mafunzo ya BVR kulia ni mkurugenzi mtendaji wa Hai ndg. Said Mderu na kushoto kwake ni mkuu wa kitengo cha uchaguzi/msimamizi ngazi ya wilaya ndg. Edward Ntakirio

Picha Na:
Edwine Lamtey

No comments:

Post a Comment