Tuesday, May 19, 2015

Baraza la madiwani Hai laendelea


Aliyesimama ni kaimi mkurugenzi halmashauri ya wilaya ya Hai Zabriel Mosha na katikati ni mwenyekiti wa Halmashauri Clement Kwayu na kulia kwake ni makamu mwenyekiti Ally Mwanga wakiwa katika kikao cha madiwani. picha na Edwine Lamtey





katika picha hapo juu ni madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Hai wakiwa katika kikao cha Baraza.





diwani wa kata ya Hai mjini Jafari Kiure akizungumza wakati wa kikao cha Baraza la madiwani








diwani wa kata ya Machame Mashariki akifadhili halmashauri vitabu vitakavyotumika katika maktaba ya wilaya.


mwenyekiti wa halmashauri Clement Kwayu akielezea jinsi halmashauri ilivyofurahishwa na kitendo cha diwani Rajab NNkya wa kata ya Machame Mashariki kuisaidia halmashauri katika kuipatia Vitabu.


No comments:

Post a Comment