Sunday, May 17, 2015

STEVEN GERRARD AAGWA KWA KIPIGO ANFIELD



Wabishi Crystal Palace wametibua kabisa mambo baada ya kuifunga Liverpool kwa mabao 3-1 ikiwa nyumbani Anfield.


Imeifunga Liverpool katika siku mbaya ikiwa inamuaga mkongwe na nyota wake Steven Gerrard.
Liverpool ilianza kupata bao kupitia Lallana lakini Puncheon, Zaha na Murray, wakatibua mambo.

LIVERPOOL 3-4-3: Mignolet 6; Can 5.5, Skrtel 5.5, Lovren 5.5; Ibe 5 (Lambert 65min, 5), Gerrard 6, Henderson 6.5, Moreno 5.5 (Sinclair 87); Lallana 6.5, Sterling 5.5, Coutinho 6.5 (Lucas 65, 6).
Subs not used: Johnson, Toure, Allen, Ward
Goals: Lallana (26)
Booked: Can, Coutinho 
CRYSTAL PALACE 4-4-2: Hennessey 6; Ward 6.5, Kelly 6, Dann 6.5, Souare 6; Puncheon 8, McArthur 6.5, Ledley 6.5, Lee 6.5 (Zaha 59, 7); Chamakh 6.5 (Mutch 76), Bolasie 7.5 (Murray 83). 
Subs not used: Speroni, Campbell, Jedinak, Delaney
Goals: Puncheon (43), Zaha (60), Murray (90)
Booked: Ward, McArthur, Mutch
Referee: Jon Moss 5
Attendance: 44,673 

















No comments:

Post a Comment