katikati ya picha ni mwenyekiti wa baraza la madiwani Halmashauri ya wilaya ya Hai ndg. Clement Kwayu, kulia ni makamu mwenyekiti Ally Mwanga na kushoto kwake ni mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Hai Melkizedeck Humbe
picha na Edwine lamtey 0758-129821
Kushoto katika meza kuu ni Mkuu wa wilaya ya Hai Ndg. Antony Mtaka akizungumza katika kikao cha baraza la madiwani ikiwa ni mara yake ya kwanza mara baada ya kupata uhamisho toka Mvomero Morogoro kuja Wilaya ya Hai
picha na Edwine lamtey 0758-129821
No comments:
Post a Comment