katikati ya watatu waliovaa miwani ni Mbunge Viti maalum Jimbo la Hai Mh. Grace kiwelu akisoma kabrasha la kikao cha madiwani.
picha na Edwine Lamtey 0758-129821
mbunge wa Viti maalumu jimbo la Hai Mh. Lucy Owenya akichangia mjadala kuhusiana na hoja ya mapato ya halmashauri 60% kutengwa kwa ajili ya shughuli za kimaendeleo ambapo awali madiwani walitaka kujua ni sababu gani zinakwamisha miradi mingine ya maendeleo katika wilaya kutoendelea hadi sasa
picha na Edwine Lamtey 0758-129821
No comments:
Post a Comment