Monday, April 20, 2015

WATANZANIA WAFANYA VIZURI MBIO ZA NGORONGORO MARATHONI 2015.

WATANZANIA WAFANYA VIZURI MBIO ZA NGORONGORO MARATHONI 2015.

Waziri mkuu Mstaafu ,Fredrick Sumaye akiwa
katika picha ya pamoja na viongozi wengine mbalimbali wakiwemo
waandaji buda mfupi kabla ya kuanza kwa mbio za Km 21 Katika gate la
kuingilia hifadhi ya taifa ya Ngorongoro,
Waziri mkuu Msaatfu Fredirick Sumaye
akikimbia sambamba na rais wa shirikisho la riadha Tanzania,RT,Athony
Mtaka(Kushoto kwake) mkuu wa mkoa wa Arusha ,Daud Ntibenda,pamoja na
mkuu wa wilaya ya Karatau Omary Kwaang kuashiria kuanza kwa mbio za
Ngorongoro Marathoni.

Awawli mbio zikiwa bado ndio zimeanza kundi
la wakimbiaji lilionekana wote wanakimbia kwa karibu.

No comments:

Post a Comment