Mwenyekiti
mtendaji wa IPP DR. REGINALD MENGI ameeleza kushtushwa na taarifa
zilizochapishwa kwenye gazeti la taifa imara zikimtuhumu kuwa ana nia ya
kutaka kuiangusha serikali ya Rais Kikwete na kumshughulikia baada ya
kumaliza muda wake wa uongozi kunyamaziwa na ikulu na idara ya habari
maelezo kwa wiki tatu bila kutoa ufafanuzi wowote.
No comments:
Post a Comment