Monday, April 20, 2015

MENGI ASHTUSHWA NA HABARI ZA GAZETI

Mwenyekiti mtendaji wa IPP DR. REGINALD MENGI ameeleza kushtushwa na taarifa zilizochapishwa kwenye gazeti la taifa imara zikimtuhumu kuwa ana nia ya kutaka kuiangusha serikali ya Rais Kikwete na kumshughulikia baada ya kumaliza muda wake wa uongozi kunyamaziwa na ikulu na idara ya habari maelezo kwa wiki tatu bila kutoa ufafanuzi wowote.

No comments:

Post a Comment